Bashe akabidhi magari yenye thamani ya Tsh bilioni 4.2
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amekabidhi Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwa ajili ya kusimamia na kutekekeza majukumu ya Sekta ya Kilimo, pamoja na magari saba ya mitambo ya uchimbaji visima. Magari hayo yamekabidhiwa Mei 12, 2025, jijini Dodoma ambapo Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) magari (14) kwa…
