anaa

Vijana 470 waitwa uhamiaji

Vijana 470 wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kwa nafasi ya konstebo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumamosi Februari 12, 2022 na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Mrajibu Paul Msele imesema vijana waliochaguliwa kujiunga wanatakiwa waripoti katika chuo cha uhamiaji kilichopo Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Februari 19, 2022. Idara ya uhamiaji…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks