Tanzania yashiriki mkutano kutatua changamoto soko la ajira
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amehutubia Mkutano Mkuu wa Shirika la Kazi Duniani, ambapo ameeleza juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu katika kupambana na madhara ya Covid -19 katika soko la ajira. Katika mkutano huo unaofanyika Geneva, Uswisi Ndalichako amelipongeza Shirika la Kazi…
