Rais Dkt. Mwinyi awakaribisha wawekezaji kutoka Ufaransa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito na kuwakaribisha wafanyabiashara kutoka Ufaransa kuangalia fursa kuwekeza Zanzibar katika maeneo mbalimbali. Rais Dkt. Mwinyi amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa majadiliano ya fursa za uwekezaji kati ya Ufaransa na Zanzibar kutoka kwa ujumbe wa wafanyabiashara wa makampuni 20 ya…
