Rais wa Ujerumani kuzungumza na vijana Watanzania
Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier atafanya ziara ya kikazi nchini Tanzania kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 01 2023. Ziara hiyo imelenga kukuza na kuimarisha misingi ya biashara na uwekezaji pamoja na kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani. Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano…
