Kuweka picha za viongozi kwenye sarafu ni gharama: Serikali
Gharama za mara kwa mara za uchapishaji wa noti kwa ajili ya kubadilisha picha za viongozi baada ya muda wao wa kuwa madarakani kukoma ndio sababu iliyofanya picha hizo ziondolewe kwenye sarafu ya Tanzania. Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande ameeleza hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge Viti Maalum Angelina Adam…
