Kilimo cha ngano cha mkataba kuokoa bilioni 530
Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) imeanzisha kilimo cha mkataba cha zao la ngano katika Mikoa ya Rukwa, Njombe na Makete ili kupunguza gharama ya Sh bilioni 530 kila mwaka inayotumika kuagiza ngano kutoka nje ya nchi. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi hiyo, Dk. Anselm Moshi amesema kilimo hicho kinategemewa kuzalisha tani milioni 1 za…
