Ukipata laki moja, weka akiba elfu arobaini: BoT
Wafanyabiashara wametakiwa kujenga tabia ya kuweka akiba katika biashara zao ili kuhakikisha wanakuwa na maendeleo endelevu. Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Ramadhani Myonza ametoa wito huo wakati akitoa elimu ya utunzaji na matumizi sahihi ya fedha katika ziara ya utoaji elimu ya fedha kwa umma wilayani Masasi mkoani Mtwara. “Kwa mfano…
