Kuifungua Kusini kiutalii ni kazi endelevu: CP. Wakulyamba
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na jitihada za kuifungua Kusini kiutalii kwa kuboresha usimamizi wa Maliasili na kukuza Utalii kwenye vivutio hivyo adhimu na adimu duniani hali itakayoongeza kuvutia watalii zaidi na kuchangia pato la taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi…
