cant

Kushiriki maonesho China Dola 3,000

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania wanaotaka kushiriki Maonesho makubwa ya Kimataifa ya biashara nchini China yajulikanayo kama Canton Fair. Kwa mujibu wa TanTrade gharama za kushiriki ni Dola za Marekani 3,000 kwa kila mshiriki. Gharama hizo zitahusisha usafiri wa ndege daraja la uchumi, usafiri wa ndani (ground…

Soma Zaidi
ccc

Serikali yadhamiria kumaliza tatizo la mafuta

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kufanya mageuzi makubwa kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta nchini. Waziri Mkuu amesema mageuzi hayo yatakwenda sambamba kwa kupanda miche mipya ikiwemo ya michikichi. Amesema hayo akiwa Mkoani Kigoma na kuwataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya wenye ardhi inayokubali zao hilo wafanye hivyo mara moja kwani…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 10 at 14.19.43

Zoezi uhakiki wa mashamba lapamba moto

Zoezi la uhakiki na upimaji wa mashamba kwa ajili programu ya Building a Better Tomorrow (BBT ) linaenda vizuri kutokana na ushirikiano na utayari unaooneshwa na viongozi na wananchi wa mikoa ya Kigoma na Kagera. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 06 at 15.40.07 1

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha vijana kufanya kilimo biashara kupitia Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT). Wito huo umetolewa na Mhandisi Godwin Makori ambaye anaratibu na kusimamia kazi ya kuhakiki na kupima mashamba kwa ajili ya kuyaandalia hati miliki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 01 31 at 14.51.30

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa mbalimbali pamoja na programu za kuwezesha vijana. Amesema kwa kufanya hivyo, kutatatua changamoto kubwa ya ajira miongoni mwa vijana. Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo vikuu na vyuo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 01 19 at 11.58.56

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takribani 3.6%. Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili ya mabadiliko ya mfumo wa chakula unaotarajia kuongeza uzalishaji wa chakula, kuimarisha maisha ya watu na kusaidia kukabiliana na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks