WhatsApp Image 2023 06 19 at 15.21.41

Wakulima wapewa mafunzo sumukuvu

Wakulima wilayani Kiteto mkoa wa Manyara wamepewa mafunzo juu ya Sumukuvu na madhara yake. Mafunzo hayo, yametolewa na Wizara ya Kilimo kupitia Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Tanzania (TANIPAC). Elimu hiyo imetolewa kwa wahanga wa madhara ya sumukuvu ambapo imelenga uvunaji, ukaushaji na uhifadhi wa nafaka kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo ili kuepusha chakula kisichafuliwe…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 13 at 17.29.32

Serikali kusajili wakulima

Katika kuboresha kilimo nchini, serikali imesema itafanya usajili wa wakulima ili kujua idadi gani ya watu wanajishughulisha kwenye kilimo. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akihutubia katika tamasha la utamaduni lililofanyika Bulabo mkoani Mwanza. “Tunakwenda kuweka jitihada mbalimbali ili tukuze kilimo chetu. Cha kwanza tunachokifanya na ninaomba wakulima mnisikilize vizuri ni usajili wa wakulima…

Soma Zaidi
kkkkk

Karufuu yashuka kwa asilimia 40

Uzalishaji wa karafuu Zanzibar umepungua kutoka tani 7,840 mwaka 2021 hadi tani 4,734 kwa mwaka 2022. Akizungumza katika Bunge la Wawakilishi, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Visiwani humo Shamata Shaame Khamis amesema upungufu huo ni sawa na asilimia 40. Zao la karafuu ambalo ndio zao kuu Zanzibar linachangia kwa asilimia 22.9 ya pato…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 04 28 at 12.57.17

Baraza la Chuo cha Taifa cha Sukari lazinduliwa

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amezindua Baraza la Chuo cha Taifa cha Sukari na kulitaka Baraza hilo kuhakikisha kuwa inakuwa Kituo cha Umahiri cha kuboresha sekta ya sukari nchini. Katika uzinduzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Wizara ya Kilimo-Dodoma na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, Bashe amelitaka Baraza hilo kuhakikisha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks