BoT yaingia makubaliano na taasisi za fedha zisizo za kibenki
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeingia makubaliano ya kujiunga na kamati ya mamlaka za usimamizi wa bima, masoko ya fedha na taasisi za fedha zisizo za kibenki (CISNA). Naibu Gavana wa BoT, Usimamizi na Uthabiti wa Sekta ya Fedha Sauda Msemo amesaini makubaliano ya kujiunga na kamati hiyo kwa niaba ya BoT katika mkutano wa…
