Wageni wafurika kuionja, kununua Misitu Honey ya TFS
Misitu Honey, asali inayozalishwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imekuwa kivutio kwa wageni wa ndani nan je ya nchi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) (DITF) yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Watu wengi wanaotembelea banda la TFS wameonekana wakivutiwa na asali hiyo ambapo wengi huionja na kuinunua. Wakazi na wageni kutoka…
