Nyama ya Mbuzi ya Tanzania yauzwa Qatar
Tani mbili za nyama ya Mbuzi zimesafirishwa jana January 23, 2022 kwenda Doha nchini Qatar. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesema wamefanikiwa kuwaunganisha wafanyabiashara wa ndani na masoko ya nje ya nchi ambapo kampuni ya Borema Affairs ndio wamesafirisha nyama iyo. “Nyama hiyo ni sehemu ya mkataba wa kusafirisha Tani 120 sawa na…
