WhatsApp Image 2023 07 21 at 14.39.37

Tanzania, Congo kukuza biashara na uchumi

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Ekila Libombo, kuhusu mipango ya kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji ili kukuza biashara na uchumi wa nchi hizo mbili. Mazunguzo hayo yamefanyika mjini Kinshara, Congo, kando ya mkutano wa kamati ya Mawaziri…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 20 at 13.09.25

Taasisi ya kifedha ya Uingereza kuwekeza Tanzania

Waziri wa Fedha Dkt. ameikaribisha Taasisi ya kifedha ya Uingereza inayojihusisha na uwekezaji (British International Investment) kufanya uwekezaji nchini katika sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya nishati. Dkt. Nchemba ametoa wito huo alipokutana na kufanya majadiliano na ujumbe wa British International Investment, katika Ofisi ya Hazina, jijini Dar es Salaam ambapo wameangazia mambo mbalimbali ya ushirikiano…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 12 at 14.51.47

Uwindaji wa kitalii unachangia bilioni 30

Serikali inakusanya takriban Shilingi Bilioni 30 kwa mwaka kutokana na Uwindaji wa kitalii nchini. Uwindaji huo ambao unachangia katika Pato la Taifa hususani fedha za kigeni, pia unachangia ajira rasmi na zisizo rasmi kwa jamii. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa Kamati ya Ushauri ya Ugawaji wa Vitalu…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 12 at 14.03.46

Tz kuwasilisha Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030

Tanzania inatarajia kuwasilisha Taarifa ya Mapitio ya Hiari ya Nchi ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030, katika Jukwaa la Juu la Siasa la Umoja wa Mataifa. Taarifa hiyo itawasilishwa Julai 18, 2023, wakati wa mikutano ya Jukwaa hilo inayoendelea, Jijini New York, Marekani. Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi…

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Watanzania watakiwa kuwa na uthubutu

Watanzania wametakiwa kuwa na uthubutu wa kufanya biashara na kuwekeza katika maeneo mbalimbali badala ya kutegemea watu kutoka nje ya nchi katika uwekezaji. Ally Dahal, ambae ni Mkurugenzi wa Jochata Vocational Centre ametoa wito huo katika maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa, Sabasaba jijini Dar es Salaam. “Watanzania wengi hawana uthubutu wa kuanzisha biashara,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks