Athanas Lupatu

Lijue soko la Hisa. Sehemu ya Pili

Kutoka kwenye muendelezo wa mada ya Lijue soko la Hisa. Mada iliyopita tulipata kufahamu nini maana ya hisa, pia tuliangazia tofauti kati ya primary market na Secondary Market. Kama hukupata nafasi ya kusoma unaweza rejea mada iliyopita ili kufahamu zaidi. Sasa basi leo tutaelezea mambo ya kuzingatia kabla ya kunua hisa na faida anazopata mtu…

Read More

Lijue Soko la Hisa

Watu wengi wamekuwa wakitamani kuanzisha biashara na wengine wakathubutu kabisa kuanzisha biashara ila kwa namna moja au nyingine wameshindwa kuendelea na biashara. Kuna sababu nyingi zilizopelekea kushindwa kwa biashara ikiwapo suala la muda wa kusimamia biashara na changamoto nyingine, Je , ulishawahi kufikilia kuhusu biashara ya Hisa? Biashara ya hisa ni miongoni mwa biashara ambazo…

Read More

Zitambue faida za kuweka Akiba

Mambo mengi unayopanga kuyafanya katika kipindi chote cha maisha yako yanahitaji Pumzi Afya na Fedha. Hivi unakumbuka mala ngapi ulijaribu kuweka fedha, ukashindwa au ukazitumia kabla ya kutimiza malengo. Huenda ulikuwa hufahamu faida za kkuweka Akiba. Watu wengi hufikilia ili kuweka akiba unatakiwa uwe na pesa nyingi za ziada. Lakini ukweli ni kuwa kuweka fedha…

Read More

Biashara ya Mboga Mboga (Mchicha)

Wakati tunaanza kupanda ngazi za mlima wa  malengo yetu ya mwaka 2020, najua kuna wengine bado wapo kwenye fikra ya biashara gani wanaweza kuifanya kwa mtaji mdogo. Je, ulishawahi kufikiria kuhusu Biashara ya mboga mboga. Hii ni biashara ambayo unaweza kuifanya na ikakusaidia kuelekea kutimiza malengo yako mwaka huu.  Kuna njia mbili unazoweza kutumia kufanya…

Read More

Dk Mahiga ataka weledi upashanaji habari

SERIKALI kwa kutambua umuhimu wa upatikanaji wa taarifa imesema ipo tayari kuangalia vikwazo vinavyosababisha ukosefu wa taarifa sahihi, ikiwamo sheria ili uchakataji wa habari uboreke kwa manufaa ya taifa. Aidha imesema kwamba inatambua matatizo mengi duniani yanayosababisha uhasama yanatokana na kukosekana taarifa sahihi miongoni mwa wanadamu. Aidha kukosekana kwa taarifa sahihi na kuwapo kwa taarifa…

Read More

Sanlam Tanzania yawapeleka washindi wa mbio, “Capetown marathon”

Kampuni ya Sanlam Tanzania imetoa zawadi kwa washindi wa mashindano yalioisha hivi karibuni yaitwayo “Life is a Marathon competition” na kuwapa fursa ya kwenda kushiriki na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya fainali ya “Sanlam Cape Town Marathon” yatakayo fanyika tarehe 15septemba mwaka huu. Washindi hao ni Jamia Abdallah na lister Lusulo Pakua. Vile Vile balozi…

Read More

UNESCO na Ireland kushirikiana na Serikali kufanikisha Africa Code Week Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imeishukuru UNESCO na serikali ya Ireland kwa kufadhili programu ya kuwaendeleza vijana wa kitanzania kidigitali. Programu hiyo, Africa Code week In Tanzania, imelenga kuwezesha vijana sio tu kujua dunia ya digitali lakini pia kuwa na uwezo wa kubuni na kutengeneza programu mbalimbali zinazogusa teknolojia ya digiti. Akizungumza wakazi wa uzinduzi wa programu…

Read More